"Mama nisamehe siwezi kula, kichwa kinaniuma sana" Ni maneno ya mtoto Neema kabla ya kufunga kauli, kupata ulemavu wa mwili na kuwa kipofu hadi leo hii. Hujafa hujaumbika . Mtoto Neema amezaliwa salama miaka minne iliyopita, akakua hadi miaka mitatu, akawa na marafiki kama watoto wengine. Akaanza kuumwa hivi karibuni alipogundulika na saratani ya mishipa ya kichwa . Msaada wa dawa na chakula unahitajika kwa familia hii kwani baba yake amemtelekeza mtoto. Mama hana shughuli yoyote inayompatia kipato-anaitwa Salama Usikose Kisa kamili @itvtz kwenye Tanzania Yetu kikiongozwa na mtangazaji mahiri wa vipindi vya jami, mwanahabari na mwanajamii Unayemfuata #wasafitv #diamondplatnumz #cloudstv https://www.instagram.com/p/Cev72IRqEPf/?igshid=NGJjMDIxMWI=
4 notes
·
View notes
Hiii https://www.instagram.com/p/CcYDvNvKt7f/?igshid=NGJjMDIxMWI=
1 note
·
View note