Oh dear, I did it again. Your birthday passed and I missed it, my friend! Happy belated birthday buddy @angelbenardofficial (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
Congratulations on your new foundation job named @lucyjohnboscofoundation 👍 May God’s guidance and wisdom be with you in all your endeavors @lucyjohnbosco. (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
Hapa kuna glass za aina zote zotee. Mnywaji achagua tu🍸 kinywaji kigumu atie wapi 😂 Kilaini.. 🥃amwage Wapi, barafu atie ngapi, Mzee wa mchapalo, Mwanagenzi @phillipmwihava leo nimekusikiliza nimeangua kicheko hasa. Ukimuona kama MPOLE vile 😆😂 (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
Mdogo wangu happy birthday nimefurah sana unaendelea vizuri sana. Shika na fanya unachoamini. Weka bidii na ubunifu kwenye kazi zako na usiache kumuomba Mungu. I'm happy to say you make me proud bro' iweke LEOTENA juu zaidi, sikukosea kuona kioawa chako hawa wakati hakuna anaekudhania, And now it's all revealing it self, Happy Birthday Mr Producer @praf.paparaz (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
I am so proud to be your best friend. May you have a happy and healthy birthday. Guys nisaidie kumu wish happy birthday @official_mushy_freem (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
BASI IWE @michaellukindo Bwana hii ngoma @rasifmtz TOP 20 haitaki kutoka asee.... Ulipania nini @michaellukindo | @nemec_aveiro I DIGGg// #repost @nemec_aveiro via #repogram
0 notes
We heal better from the things done to us, than the things that we do to others
0 notes
Leo umefanyika uzinduzi mkubwa Nairobi Kenya wa Tuzo za Muziki na Sanaa kwa Ujumla kenya #MsetoEastAfricaAwards #MEA zenye lengo la kupongeza wasanii na kusherekea kazi zao, kuonganisha Afrika Mashariki kupitia Sanaa. Zitajumuisha nchi za Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Zitazunguka Afrika Mashariki na wasanii wa Afrika Mashariki kuunganishwa na kupongezwa kwa kazi zao za Sanaa. Tuzo hizi hazifungamani na Media, ni Mseto Company LTD ndo wahusika na kila nchi kumetoka Wawakilishi kwa ajili ya kufanya mchakato wa zoezi zima. Kutoka Tanzania, Omary Tambwe (Lil Ommy) kuiwakilisha Bongo Fleva na Sanaa zingine Bongo. Tuzo zinakuja kuwapa ari wasanii na nguvu na leo ni uzinduzi tu, mambo mengine ya Mchakato, Vipengele na zoezi lote vitafuata @lilommy @mzaziwillytuva 🙏🙏🙏 #MEA #MEA2018 #MsetoEastAfricaAwards #ConnectingEastAfrica
1 note
·
View note
DNA yanini na kitu iko CLEAR, ongeaga vitu va maana 👅Miss you Son @theboyiskelly
0 notes
So puzzled like chess👅📷: Grandmasters
0 notes
Nikishapata degree, endelea kunipa kitabu hadi nipige bachelor Mr @genuine_muga a very good teacher, a friend. Mungu akulinde mwalimu.
0 notes
The best way to remember your wife's birthday is to forget it once. (Njia pekee ya kukumbuka tarehe ya kuzaliwa ya mkeo, ni kuwah kusahau walau). Ila hii theory ina apply hata kwenye namba ya Simu. Yeye ajue yako, wewe yake hujui 😂 Ukishaletewa noma husahau tena na ndio dawa pekee ya kukumbuka💌
0 notes
First time in Japan, acha maisha yaendelee. Sema bae hapa umependezaaa 👅 tuanze sasa kujifunza kijapani kabisa darling💕 (at Tokyo, Japan)
0 notes
The greatest gift that I ever had from God is someone who I call Dad. Happy Father’s Day! (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
IWE VILE UTAKAVYO.. #basiiwe🎶 Subscribe YouTube Channel yangu @michaellukindo usipitwe na mpya za hivi karibuni. #BASIIWE 🎵🎶 Link [at] bio DOWNLOAD NOW - ☘️ML🍃 (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
Dancing #basiiwe🎶 Subscribe YouTube Channel yangu @michaellukindo usipitwe na chochote kijacho hivi karibuni. #BASIIWE 🎵🎶 Link [at] bio DOWNLOAD NOW - ☘️ML🍃 (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes
#BASIIWE 🔥🔥🔥 banging kila kona..🎵 Respect kwa Busati @magicfm929 Santeni @ebbythe1 & @mishiebomba Mtu wangu wa Dar, Sasa unaweza ku-request #BASIIWE kupitia radio yako pendwa @magicfm929. Ngoma ipo YouTube (subscribe), Upo Boomplay Music, Link on my Insta bio, DOWNLOAD NOW - ☘️ML🍃 (at Dar es Salaam, Tanzania)
0 notes